Mr. Blue ‘akiri’ mke wake kumpiga stop uvutaji Bangi >>>>>>>>
Mwanamuziki Wa Bongo Flava Mr.Blue
ametoa ya moyoni kuwa mke wake ndiye aliyemfanya aache vilevi vyote
ikiwemo bangi, fegi, mirungi pamoja na pombe. Kupitia ukurasa wake wa
Istagram amesema “Alhamdulilahi ..nimeamka salama nikiwa mwenye furaha
ahsante mungu ..na nashukuru pia kwa kufaulu
mtihani ahsante mke wangu @wahyda_bysers_heart
kwa kunifanikisha kuacha vilevi vyote..(bangi, fegi, mirungi, pombe) na
kuishi km binadamu wa kawaida..nawashauri ndugu zangu kuwa makini na
marafiki wengine wapo kwa ajili ya kukuharibia maisha yako ..kuwa
makini” Wanao tumia vilevi hivyo wanancho cha kujifunza hapo,chukua
hatua kabla haujaharibikiwa.
No comments:
Post a Comment