Monday, June 29, 2015

Sikiliza Chill na Sky - Fredrick Bundala akiwa na Vanessa Mdee.


 Chill na Sky inasikika kupitia Kings FM ya Njombe (Jumatatu 10:45 hadi 11:45 jioni, na marudio Jumapili saa 5:00 asubuhi. Bomba FM Mbeya, Jumanne saa 9:00 Alasiri na Afya Radio 96.8, Mwanza, Jumatano saa 8:30 mchana kwenye The Beat Lab na kurudiwa Ijumaa saa 5:00 usiku kwenye Weekend Jump off na Jumapili saa 5:00 asubuhi kwenye Super Sunday..

No comments: