Tuesday, June 30, 2015

Baraka Da Prince Awaza Kuvuka Border >>>>>>>>

Mwanamuziki Chipukizi anayeibukia Vizuri Sana kwenye ‘game’ ya Bongo Flava, Baraka Andrew ukipenda “Baraka Da Prince” ambaye sasa hivi anatesa na Wimbo wake wa ‘Siachani Nawe,’Akiongea na Djjonamusic Blog siku chache zilizopita, PRINCE alisema kuwa anataka kuvuka kimataifa. Aliongozea  Baraka Da Prince ( @barakah_daprince ) Awaza Kuvuka Border >>>>>>>> Mwanamuziki Chipukizi anayeibukia Vizuri Sana kwenye ‘game’ ya Bongo Flava, Baraka Andrew ukipenda “Baraka Da Prince” ambaye sasa hivi  anatesa na Wimbo wake wa ‘Siachani Nawe,’Akiongea na @mzaziwillytuva siku chache zilizopita, PRINCE alisema kuwa  anataka kuvuka kimataifa. Aliongozea kuwa anawashukuru mno mashabiki wake kwa kuweza kumpa support hadi kufikia hapo alipo. Baraka alisema kwa umuhimu na ubora wake umeweza kumfanya apate tuzo ya mwanamuziki bora chipukizi anayechipukia kwenye tuzo za muziki za KILI AWARDS zilizofanyika hivi majuzi . “Tuzo hiyo, imenifanya nijiamini zaidi kwenye safari yangu ya kimataifa baada ya mwezi mtukufu kuna ngoma moja itatoka ambayo ni tofauti kabisa,nimemshirikisha mwanamke hatari itakua ni ‘surprise’ kubwa,” alisema Msanii huyo ambae ana asili ya humu nchini Kenya tokea pande za Nyanza na anaweza kuzungumza ki LUO Vizuri sana.  By @sameerbrykuwa anawashukuru mno mashabiki wake kwa kuweza kumpa support hadi kufikia hapo alipo. Baraka alisema kwa umuhimu na ubora wake umeweza kumfanya apate tuzo ya mwanamuziki bora chipukizi anayechipukia kwenye tuzo za muziki za KILI AWARDS zilizofanyika hivi majuzi . “Tuzo hiyo, imenifanya nijiamini zaidi kwenye safari yangu ya kimataifa baada ya mwezi mtukufu kuna ngoma moja itatoka ambayo ni tofauti kabisa,nimemshirikisha mwanamke hatari itakua ni ‘surprise’ kubwa,” alisema Msanii huyo ambae ana asili ya humu nchini Kenya tokea pande za Nyanza na anaweza kuzungumza ki LUO Vizuri sana.

No comments: