kuhukumiwa kujihusisha na matumizi ya unga na wengine kwenda mbele kwa
kusema hata kushuka kwake kisanii kumechangiwa na ishu hiyo. Amedai kuwa
anaumia sana pale mama yake anapohusishwa kwa madai ya kumuonya yeye
kwa matumizi ya dawa za kulevya wakati hakuna kitu kama hicho na kudai
kuwa anaona kama anaonewa kwa kitu ambacho hakifanyi. Amedai kuwa sababu
zilizosababisha kuporomoka katika anga la muziki ni hujuma kutoka kwa
baadhi ya wadau wakubwa wa muziki kwa kushindwa kumpa fursa za kimuziki
zikiwemo promosheni na mialiko ya shoo kwa kuwa wana vinyongo na fitina
dhidi yake.
Tuesday, June 30, 2015
TID Akanusha Kutumia Dawa za Kulevya >>>>>>>
Mwanamuziki nchini Tanzania, Khaleed Mohamed ‘TID amesema hajawahi
kutumia madawa mengine ya kulevya ikiwemo cocaine kama ambavyo amekuwa
akinyoshewa vidole na baadhi ya vyombo vya habari, akihojiwa amedai kuwa
miongoni mwa mambo yanayomkosesha raha na amani ya moyo, ni pamoja na
kuhukumiwa kujihusisha na matumizi ya unga na wengine kwenda mbele kwa
kusema hata kushuka kwake kisanii kumechangiwa na ishu hiyo. Amedai kuwa
anaumia sana pale mama yake anapohusishwa kwa madai ya kumuonya yeye
kwa matumizi ya dawa za kulevya wakati hakuna kitu kama hicho na kudai
kuwa anaona kama anaonewa kwa kitu ambacho hakifanyi. Amedai kuwa sababu
zilizosababisha kuporomoka katika anga la muziki ni hujuma kutoka kwa
baadhi ya wadau wakubwa wa muziki kwa kushindwa kumpa fursa za kimuziki
zikiwemo promosheni na mialiko ya shoo kwa kuwa wana vinyongo na fitina
dhidi yake.
kuhukumiwa kujihusisha na matumizi ya unga na wengine kwenda mbele kwa
kusema hata kushuka kwake kisanii kumechangiwa na ishu hiyo. Amedai kuwa
anaumia sana pale mama yake anapohusishwa kwa madai ya kumuonya yeye
kwa matumizi ya dawa za kulevya wakati hakuna kitu kama hicho na kudai
kuwa anaona kama anaonewa kwa kitu ambacho hakifanyi. Amedai kuwa sababu
zilizosababisha kuporomoka katika anga la muziki ni hujuma kutoka kwa
baadhi ya wadau wakubwa wa muziki kwa kushindwa kumpa fursa za kimuziki
zikiwemo promosheni na mialiko ya shoo kwa kuwa wana vinyongo na fitina
dhidi yake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment