Kwenye moja Tyga anaongelea kuwa na makosa kwa matendo yake,huku ikiwa Kylie Jenner bado hajatimiza miaka 18 mpaka August.
Lakini mwisho wa siku , mkali Tyga aliweka mambo sawa akasema ngoma
hiyo hajaimba kwa ajili ya Kylie Jenner, kama ni kufanya ngoma kuhusu
Kylie Jenner ,tena ingekuwa special sana na classier.
No comments:
Post a Comment