Story zilizo enea ni kwamba siku chace za nyuma ilivuma habari ya kwamba msanii huyu ali gombana na Mama yake mzazi na kufikia hatua ya kumkata sikio.
Sasa msanii huyu leo katik akipindi cha Bongo Fleva Dudu amefunguka kwamba ni uongo story sio za kweli ni mtu tu aliamua kuzusha.
Mbali na habari hiyo pia Dudu baya amethibitishia umma kwamba amerudi tena katika game na mashabiki zake wakae mkao wa kula.
No comments:
Post a Comment