unaopendwa na wengi tofauti na
baadhi ya watu wanavyofikiria. Akihojiwa na runinga ya Citizen wikendi
iliyopita alisema kuwa anahisi yeye ndio bora na kwamba ilikuwa haki
yake kushinda tuzo hizo kutokana na kujituma ili kuweza kuwapa mashabiki
ladha iliyopotea kwa muda na ndio maana alitwaa tuzo sita kati ya saba
alizoteuliwa. Sambamba na hilo amedai kuwa hana beef na mwanamuziki
mwenzake Diamond, na kusema kuwa anakerwa sana watu wakilinganisha na
msanii huyo na kudai kuwa yeye ni yeye na Diamond ni Diamond.
Tuesday, July 7, 2015
'Tuzo za KTMA Zilikuwa Haki Yangu' Asema ALIKIBA >>>>>>>
Mwanamuziki nchini Tanzania, Ali Kiba,
ambaye amejitokeza tena katika ulingo wa muziki baada ya kupumzika kwa
miaka mitatu amepuuzilia mbali madai kwamba alipendelewa katika tamasha
la tuzo za Kilimanjaro. Ali kiba, ambaye alipata tuzo sita amesema kamwe
hakupendelewa na kwamba ni muziki wake
unaopendwa na wengi tofauti na
baadhi ya watu wanavyofikiria. Akihojiwa na runinga ya Citizen wikendi
iliyopita alisema kuwa anahisi yeye ndio bora na kwamba ilikuwa haki
yake kushinda tuzo hizo kutokana na kujituma ili kuweza kuwapa mashabiki
ladha iliyopotea kwa muda na ndio maana alitwaa tuzo sita kati ya saba
alizoteuliwa. Sambamba na hilo amedai kuwa hana beef na mwanamuziki
mwenzake Diamond, na kusema kuwa anakerwa sana watu wakilinganisha na
msanii huyo na kudai kuwa yeye ni yeye na Diamond ni Diamond.
unaopendwa na wengi tofauti na
baadhi ya watu wanavyofikiria. Akihojiwa na runinga ya Citizen wikendi
iliyopita alisema kuwa anahisi yeye ndio bora na kwamba ilikuwa haki
yake kushinda tuzo hizo kutokana na kujituma ili kuweza kuwapa mashabiki
ladha iliyopotea kwa muda na ndio maana alitwaa tuzo sita kati ya saba
alizoteuliwa. Sambamba na hilo amedai kuwa hana beef na mwanamuziki
mwenzake Diamond, na kusema kuwa anakerwa sana watu wakilinganisha na
msanii huyo na kudai kuwa yeye ni yeye na Diamond ni Diamond.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment