Tuesday, July 7, 2015

Ommy Dimpoz ,sina tatizo na Ali Kiba,ata show zangu alinipa ushirikiano >>>>>>>

 
Ommy Dimpoz amefunguka kupitia Friday Nite Live wiki iliyopita kuwa hana tatizo na Ali kiba na kwamba ata yeye alivyokuwa na show zake Zanzibar, Ali Kiba alifahamisha mashabiki wake kupitia instagram na alifanya hivyo bila kuombwa. Ali Kiba ndio msanii aliyefanya wimbo wa kwanza wa Ommy Dimpoz ‘Nai Nai’ na kumpa ushirikiano mkubwa mpaka kusababisha wimbo kuwa mkubwa Tanzania.

No comments: