West pia ni mama wa mtoto wao North West, couple maaarufu sana duniani kote. Kanye West na Kim walifunga ndoa mei 24 mwaka 2014 huko fort di Belvedere Florence mjini Italia. Kim na Kanye ni moja kati ya couple zinazoongelewa sana duniani kote.
Kim alianza kufahamika sana miaka ya 2007 baada ya kuonekana kwa video yake akifanya mapenzi na mpenzi wake wa zamani Ray J, baada ya umaarufu huo yeye na familia yake ilianza kuonekana kwenye kipindi cha television kilichoitwa keeping up with the Kardashian kipindi ambacho kimeingiza dollar milioni 53 hadi mwaka huu 2015.
Kabla ya Kanye West, Kim Alishaolewa mara mbili, na huu ni mtililiko wa mahusiano yake.
2000 – 2004 Kim aliolewa na producer wa muziki Damon Thomas
2006 Kim alitoka na Ray J Norwood Mdogo wa Brandy Norwood, Ray J ndie aliesambaza picha na video za utupu akiwa na Kim.
2006 Hiyo hiyo Kim aliachana na Ray na kutoka na Nick Lachey ambae ni mcheza filamu mwanamuziki,mwandishi,mtunzi na producer
2006 mwishoni hadi mwanzo wa 2007 Kim alitoka na Nick Cannon Kabla hajamuoa Mariah Carey ambae ni mama wa watoto wake mapacha.
2007 Kim alitoka na Reggie Bush Staa wa NFL (National Football League) Julai 2009 wakagombana na kupatana septemba 2009 na waliachana mwanzoni mwaka 2010
2010,Juni hadi septemba mwaka huo huo, alitoka na Mchezaji Miles Austin
2010 Kim alitoka na model Gabriel Aubry ambae alikuwa ameachana na mcheza filamu maarufu Halle Berry.
2010, Disemba kim alitoka na Staa wa NBA Kris Humphries, Kris alimchumbia Kim Mei 2011,wakaoana mwezi wa 8 mwaka huo 2011, na wakaachana Oktoba 31, 2011 moja kati ya ndoa zilizodumu muda mfupi zaidi katika historia
Rabiadamary (mmasaimfupi)
No comments:
Post a Comment