“Fikiria ambavyo kila mtu alimshambulia Michael Jackson na 2pac walivyokua hai, Sidhani kama nimeona mtu mwenye vipaji aliyepitia mambo mengi magumu akashinda na akanaendelea kujifunza kama Chris Brown” Ameandika Nick ambaye amedai mara nyingi watu huwa wanasubiri watu wakifa ndio wawape sifa zao.
Wednesday, October 28, 2015
Nick Cannon asema Chris Brown ni sawa na kujumlisha Michael Jackson na 2pac kwa pamoja
Chris Brown ni moja ya wasanii wenye mafanikio zaidi kwa miaka hii ya
Karne ya 21, Mtangazaji wa kipindi cha ‘American’s Got Talent, Nick
Cannon anamuona Chris Brown kama Jumla ya Michael Jackson na 2Pac kwa
pamoja.

“Fikiria ambavyo kila mtu alimshambulia Michael Jackson na 2pac walivyokua hai, Sidhani kama nimeona mtu mwenye vipaji aliyepitia mambo mengi magumu akashinda na akanaendelea kujifunza kama Chris Brown” Ameandika Nick ambaye amedai mara nyingi watu huwa wanasubiri watu wakifa ndio wawape sifa zao.
“Fikiria ambavyo kila mtu alimshambulia Michael Jackson na 2pac walivyokua hai, Sidhani kama nimeona mtu mwenye vipaji aliyepitia mambo mengi magumu akashinda na akanaendelea kujifunza kama Chris Brown” Ameandika Nick ambaye amedai mara nyingi watu huwa wanasubiri watu wakifa ndio wawape sifa zao.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment