Thursday, January 21, 2016

Baada Ya DIAMOND PLATNUMZ Kujiita 'Simba' WILLY PAUL Naye Kaichukua Hilo Jina >>>>>

Msanii Mkali Wa Bongo Flava Diamond Alitangaza Siku Kadhaa Zilizopita Kuwa, Kutokana na ukali wake kimuziki, Mashabiki siku hizi wanamuita SIMBA. Humu Nchini katika pita pita zangu kwenye mitandao Nimekutana Na Profile ya Msanii Wa Nyimbo Za Injili WILLY PAUL Naye siku hizi anajiita SIMBA, Hii Hapa Tazama.

No comments: