Thursday, January 14, 2016

Beyonce ana ujauzito wa pili? Hizi picha zimeongeza nguvu ya uvumi huo

 
 Beyonce anaweza akawa mjamzito tena.

Pregnancy rumours began to circulate (once again) after Beyonce stepped out in a bulky coat on Sunday night with Jay Z

Picha zilizopigwa mwishoni mwa wiki iliyopita zimemuonesha Beyonce akificha tumbo na koti kitu ambacho watu wengi wanaamini anaficha ujauzito.
Fun night! Bey and Jay had dinner at Son Of A Gun before making the rounds at the Golden Globes after parties

Beyonce na Jay Z walionekana Los Angeles lakini kila alipotaka kupigwa picha alikua anafunikana tumbo lake.
Not a whisper: There were no reports confirming or denying the singer sipped any alcohol while out on the town
Hii sio mara ya kwanza Beyonce anadaiwa kuwa na ujauzito wa pili.

No comments: