Push Mobile tofauti na mwanzo hii ni kutokana na malalamiko ya washindani na wapigaji wa kura walio wengi, Mwisho wa kupiga kura itakua siku ya jumapili ya tarehe 31 tutayafunga mashindano na zoezi la kuhesabu kura litachukua siku 5 ambapo zawadi zitatolewa siku ya j3 ya tarehe 15 ya
mwezi ujao wa pili,Matokea yatatangazwa Live rasmi kupitia Redio ambayo itakua imechukua hii zawadi Uhesabuji wa kura utakua tofauti na mwanzo na ndiyo sababu ya kuchelewa kuyatoa matokeo hayo watakao kua wanahesabu ni waandaaji wakuu wa haya mashindao ambao hakutaka jina lao litajwe au kuandikwa.
No comments:
Post a Comment