Thursday, January 14, 2016

Mashabiki Wamkosoa WIZ KHALIFA Kumbusu Mama Yake Mdomoni Kwenye Golden Globes Awards 2016

Rapper wa Marekani, Wiz Khalifa weekend iliyopita alikuwa ni mmoja wa mastaa waliohudhuria kwenye tuzo za Golden Globes Awards 2016. Wiz aliambatana na mama yake mzazi Katie ‘Peachie’ 
 
Wimbush kwenye tuzo hizo, na wakiwa kwenye red carpet walibusu midomoni mbele ya wapiga picha, kitendo ambacho kimekosolewa na watu wengi wakidai sio sawa kwa mama na mwanaye wa kiume kubusu kwenye midomo kwa namna hiyo.

No comments: