Thursday, February 18, 2016

DIAMOND PLATNUMZ Huwa Anamiss Maisha Yake Akiwa TANDALE?? Jibu Lake Hii Hapa >>>>>

 Mahojiano Yetu na Mkali Wa Bongo Flava diamondplatnumz Weekendi iliyopita ilikuwa nzuri Sana, Maana Tulimuuliza Maswali Ambayo Hajawahi Kuulizwa Popote, Tulitaka Kufahamu Kama Anamiss Maisha yake ya mitaani, "Yea Na miss Sana Kwasababu Kuna Vitu Vingine Ambavyo Natamani Kuvifanya Lakini Siwezi
 
 Kuzivifanya ambavyo nilikuwa navifanya Zamani ni kitu ambacho sometime kinaniumiza hivi, na hata kama naweza kuzifanya nakuwa Niko busy nasafiri , kwa Mfano kama nimekuja huku ( Kenya) Nimetokea South Africa nilikuwa na shoot na sasa hivi narudi tena South Africa, Nimetoka Tanzania takriban wiki Nzima" Alieleza Diamond Platnumz ambaye hivi Majuzi Ameachia Kazi Yake Mpya 'Make Me Sing' Akiwa Ameshirikiana na AKA toka Afrika Kusini.

No comments: