Muimbajo huyo wa ‘The Money’ amedai saa zake mbili ‘wristwatch’ zina bei ya kununua magari 20, Staa
huyo alisema hilo alipokuwa akimjibu shabiki kwenye mtandao wa Twitter aliyohoji kuhusiana na saa zake
Hivi karibuni staa huyo alisaini mkataba wa mamilioni na Sony Music.
No comments:
Post a Comment