Saturday, February 20, 2016

"SIRI YA GARI LA SHETTA ANAIJUA YEYE MWENYEWE " Asema CHIEF KIUMBE

 Chief kiumbe mmoja wa Watu wanaotajwa kuwa karibu na wasanii wengi bongo na amekuwa akitajwa kwenye ngoma zao,amesema Gari jipya la shetta Siri yake anaijua shetta mwenyewe.
KIUMBE alikua akijibu kile kilichozungumzwa na NAY WA MITEGO kwenye wimbo wake  

 

#ShikaAdabuyako kuwa shetta kanunuliwa na Chifu kiumbe.
Hata hivyo amekiri kuwa yeye pia anaijua Siri ya gari LA shetta lakini shetta anaijua zaidi kwasababu gari ni lake lakini kumnunulia mtu gari issue ndogo.
"Hata kama Mimi naijua lakini Siri anaijua shetta mwenyewe"...amesema CHIEF.
Amesema kuna makubaliano yanakuwepo yanakuwepo hadi kumnunulia msanii gari na msanii wa kwanza kumnunulia gari alikua matonya.

No comments: