
Kupitia Kipindi Cha #MamboMseto Ya Radio Citizen na @mzaziwillytuva na @djflashkenya, Msanii Huyo Alisema Haya "Beef Ni Nzuri Wakati Mwingine Kwa Industry, Ndio Watu Waheshimiane". Katika Wimbo Huo, Mistari fulani ya BOBBY MAPESA yanaonekana kuwalenga Wasanii Wawili Wakali Wa Humu Nchini, Hata Hivyo Hajawataja moja kwa Moja.
No comments:
Post a Comment