Muimbaji huyo wa ‘Siwezi’ amedai sababu za kutofanyika kwa collabo hizo ni kwasababu alibadilisha uongozi wake
“Ni kweli Collabo zilitakiwa zifanyike lakini sema baada ya kuwa na uongozi mpya sikuweza kufanya collabo na Eddy Kenzo na Patoranking hiyo ndio ilikuwa sababu kubwa na kila kitu kilikuwa kimefanyika kilichobaki ni mimi tu kufanya nao sema kilichosababisha ni kuwa na uongozi mpya kwani uongozi wa zamani ndio walikuwa wamepanga collabo hizo”
No comments:
Post a Comment