Dyna Nyange Hit Maker wa #Nivutekwako na sasa #angejua amesema Mziki umemfanya kuheshimika katika jamii na kuondokana na utegemezi aliokuwa nao kwa ndugu. Akiongea na kipindi cha #Planetbongo cha #EARadio
DYNA amesema amekuwa pia akijitahidi kuwa mfano mwema kwa jamii na Watu

wanaomwangalia kama msanii na kama mwanamke pia. Dyna amesema mwanzo
alikua akitegemea mahitaji muhimu kutoka kwa ndugu zake lakini siku hizi
anaweza kujitegemea kwa 100% na yote hiyo ni kwasababu ya music. Kama
mwanamke hiyo imempa heshima pia kwa jamii kuwa ameweza kusimama peke
yake bila kumtegemea MTU.
No comments:
Post a Comment