Msanii Maarufu nchini humu , CMB Prezzo,
amewataka wasanii wenzake nchini humo wakapime HIV kwa ajili ya kujua
afya zao. Hilo limekuja baada ya kutambua majibu yake alipopima na
kugundulika kwamba

hana upungufu wa kinga mwilini. “Najua kupima HIV sio
kazi ndogo, lakini ni kitu kizuri kwa maisha ya sasa hasa kwa vijana
ambao tunajua nini tunakifanya. “Ni vizuri kwa wasanii kujitokeza kama
mimi nilivyofanya, nashukuru Mungu majibu yangu mazuri, ila kilichobaki
ni kujilinda,” aliandika Prezzo kwenye ukurasa wake wa Twitter.
No comments:
Post a Comment