Alifahamika kama mkali wa kuchana Ukipenda Freestyle za
kutosha miaka ya nyuma na hakuna aliyefikiri angeweza kugeuka na
kutengeneza hitsong kwa kuimba 100%. Wimbo Wake Mpya Inayokwenda Kwa
Jina #kwetu Kaitambulisha juzi
tu lakini impact yake ni kubwa kwasasa. RAYMOND ameweka wazi kuwa yeye
alikuwa msanii wa Rap lakini hakuwa mwanaharakati wa hip hop kwasababu
hip hop ukiifanya kama
dini itakutesa. Raym
ond ameiambia #planetbongo
kuwa wapo Watu ambao ni wanahip hop na hawafanyi rap kwahiyo Muziki wa
hip hop siyo dini so ameamua kuimba kwa kuona anaweza kufanikiwa
kulingana na uwezo wake na ushauri wa management yake (WCB) .
Hata hivyo ameweka wazi kuwa kipaji chake cha kurap bado kipo na ana nyimbo kibao alizorap zipo store na kila akipata mizuka ya kurap huwa anaandika mistari na kuitunza.
ond ameiambia #planetbongo
kuwa wapo Watu ambao ni wanahip hop na hawafanyi rap kwahiyo Muziki wa
hip hop siyo dini so ameamua kuimba kwa kuona anaweza kufanikiwa
kulingana na uwezo wake na ushauri wa management yake (WCB) .Hata hivyo ameweka wazi kuwa kipaji chake cha kurap bado kipo na ana nyimbo kibao alizorap zipo store na kila akipata mizuka ya kurap huwa anaandika mistari na kuitunza.
No comments:
Post a Comment