Msanii wa kike, Dayna Nyange amedai anapenda
kuvaa nguo ambazo zinaacha wazi sehemu ya kiuno chake. Akizungumza
katika kipindi cha Hatua Tatu cha Times Fm, Dayna amewataka watu kuacha
tabia ya
kuingilia maisha ya watu wengine. “Unajua usipende kumjaji mtu
kwa mavazi, mimi si mvaaji wa vikaptula au vinguo vifupi napenda tu
kuvaa nguo inayoniacha ‘kakiuno’ tu kidogo wazi, kwa sababu napenda”
alisema Dayna.
Muimbaji huyo kwa sasa anafanya vizuri na video yake ya wimbo ‘Angejua’
Muimbaji huyo kwa sasa anafanya vizuri na video yake ya wimbo ‘Angejua’
No comments:
Post a Comment