Sunday, April 3, 2016

[PICHA] : TRA wanaipiga mnada Range Rover Evoque ya WEMA SEPETU

 Unaikumbuka ile Range Rover Evoque 504 ambayo Wema Sepetu alijizawadia kwenye birthday yake mwaka jana? Well, inaweza kuwa yako iwapo unaweza kuwa na takriban shilingi milioni 200 za kumwaga 
 
sababu TRA wanaipiga mnada! TRA wanaishikilia gari hiyo kwasababu iliingizwa nchini bila kulipiwa kodi na kwakuwa ushuru wake ni takriban nusu ya gharama yake, Wema ameshindwa kuikomboa.

No comments: