Friday, October 21, 2016

MTV waonesha tuzo za MAMA za 2016, ni za dhahabu

MTV wameonesha tuzo za MAMA 2016 ambazo watapewa washindi wa mwaka huu, Tuzo hizo zimepewa heshima zaidi, tuzo za mwaka huu ni za dhahabu.
#MTVMAMA2016 | LOOK AT THIS PIECE OF GOLD 😍😍😍 pic.twitter.com/l3BvVt6NVI

    — MTV Base Africa (@MTVBaseAfrica) October 21, 2016

Tuzo hizo zitatolewa siku ya kesho huko jijini Johannesburg, Afrika kusini huku watanzania Alikiba, Diamond, Ray Vanny, Yamoto Band, Navy Kenzo na Vanessa Mdee wakiwania vipengele mbalimbali.

    #MTVMAMA2016 | Unveiling of the award 😍 pic.twitter.com/pb6PT4RiAO

    — MTV Base Africa (@MTVBaseAfrica) October 21, 2016

No comments: