Monday, October 10, 2016

Video: Ninawasiwasi na meneja wa Diamond Platnumz kitendo cha kuzimiwa Mike nikiwa bado napiga show

Akipiga story na mtangazaji wa kituo cha redio nchini kenya  cha Citizen Radio   William Tuva alikiba alimuambia kwamba Mike ilipozimwa back stage kwenye steji iliyomkutanisha na mkali tokea U.S.A Neyo Ali kiba amezungumza kwamba alikuwepo meneja wa Diamond Platnumz ingawa hajataja jina la huyu menejabo......Tizama video Hapo chini kwa story zaidi pia usiacha kutufollow Instagram kwa jina la @djjonakingtz

No comments: