
tokea nilipo anza kuweka post kwenye hii blog yangu sijawahi kupost habari ambayo ni nzuri kuhusu ezekiel .......... ivi dadangu wewe hauna aibu hata tone...... unashangaza kiukweli haufaham kama umri ndo unasogea.........aaaaaaaa uuuuuuuuu ni ujinga hata kama ni kuiga huku sasa umepitiliza mastaa wa mbele hawapo ivi dadaangu umekithili watakana haujawaiga wao
No comments:
Post a Comment