Monday, October 15, 2012

ROMA,MPOKI,LINAH NA AMINI KUKINUKISHA MAKAMBAKO IRINGA KWENYE MTIKISIKO 2012 EBONY FM 87.8....posted by deejay jona


 

 
                   anaitwa RENATUS BIZZO KILUVIA ni programe manager wa ebony fm apo chini akitoa ufafanuzi kuhusu show ya mtikisiko
                                                    
                                                RENATUS BIZZO KILUVIA
Hili ni swali ambalo wengi waliumiza vichwa sana..."MTIKISIKO" 2012 "Ndo Vileeeee...!!!"..kuwa itaanzia wapi na list ipi ya wasanii itadondoka katika kila pande ambazo MTIKISIKO 2012 itapita....Now tyr imekuwa confirmed kwa baadhi ya wasani
i kutokea katika STAGE ya tamasha hilo kubwa kuliko yote KUSINI MWA TANZANIA ..MAKAMBAKO ambako safari hiyo inaanzia..ROMA,.AMINI na LINAH kutoka T.H.T ni majina ya kwanza yaliyotajwa kutokea kunako stage ya MTIKISIKO 2012 pande za MAKAMBAKO Jumapili Oct 21...mchekeshaji maarufu na mkali wa vichekesho vya kusimama aka "Stand Up Comedy" anayegonga mzigo katika kundi la Original Comedy na ambaye pia kwa sasa ni msanii wa kuimba (perfoming artist) MPOKI aka Mwarabu wa Dubai...pia ametajwa kuonekana juu ya stage hiyo...haya ni majina ya awali ya wasanii ambayo tyr yako confirmed kutokea kunako MTIKISIKO 2012..MAKAMBAKO...Stay tuned kwa majina mengine zaidi na zaidi......MTIKISKO 2012.."Ndo Vileeeeeeeee.....!!!"
 mratibu wa show bab kubwa ya mtikisiko EDWIN BASHIL akijalibu kukwepa kamera ya vunja.blogspot.com lakini mpigaji wa pic alikua fasta zaidi
 
      LINAH SANGA ni moja kati ya wasanii watakaopiga shangwe makambako


                         Amini Mwinyi Mkuu  pia atakinukisha makambako nje kidogo ya manispaa ya iringa

  Mpoki Mujuni

MPOKI pia nae ndani sipati picha raia full kuvunjika mbavu.....

 

msanii mwenye asili ya mkoa wa TANGA na mpare kutoka MOSHI-KILIMANJARO...ROMA ambaye ni msanii anayeaminika kwa kupiga show kali kuliko msanii mwingine yoyote kwa sasa pia ameongezwa kwenye list ya wasanii watakaopagawisha watu wa MAKAMBAKO na vitongoji vyake...hii ni HISTORIA ........posted  by deejay jona

No comments: