Saturday, November 29, 2014

Nyimbo Mpya: Ibra - Monica

Ni yule msanii ambaye kaimba nyimbo ya sambaza upendo ambayo huchezwa na Clouds fm kama jingle ya kuanzia kipindi pia kunanyimbo kafanya na Attu Diva Supernyota tokea Iringa nyimbo inaitwa Do you ambayo bado inafanya poa katika vituo vingi vya redio hapa Tz




No comments: