Monday, September 10, 2012

News & Gossips ya Ebony Fm na Bizzo



Hii ni segment ambayo hurushwa kwenye kipindi cha The Splash cha Ebony FM iliyopo Iringa,Mtangazaji wa segment hiyo ni Renatus Kiluvia aka Bizzo.

HOT STORIES HEADLINES...!!
* Gucci Mane atakiwa kumlipa mwanamke aliyemsukuma nje ya gari ikiwa katika mwendo $ 60,000.
* Baada ya heavy perfomance kwenye 2012 Mtv's Vma..Lil Wayne aangusha party matata ya uzinduzi wa Headphones zake (Beat Pro)
*DMX aachia documentary kama promotion ya albam yake mpya itakayodondoka kitaa rasmi kesho.

No comments: