Baby Madaha ambaye ni zao la Bongo Star Search ambaye ameshafanya poa kwenye muziki na pia upande wa filamu hapa nchini.Singer huyu wa “Amore” na “Nimezama” baada ya kuchonga na BK Cop aliweza kufunguka na kusema kuwa kwa sasa amejiunga rasmi na kundi la TMK Wanaume Halisi linaliundwa na member kama Juma Nature, Dollo, KR na wengine wengi.
Baby Madaha kwa sasa unaisikia sauti yake kwenye ngoma ya Juma Nature kwa jina la “Narudi Kijijini” iliyotengenezwa Bongo Records ukiwa ni ujio mpya wa Nature.
SOURCE : deejay jona
No comments:
Post a Comment