Wednesday, November 12, 2014

Fredrick Bundala asema Kings FM 104.1 Njombe itakuwa gumzo Nyanda za juu Kusini


aliyokua mtangazaji wa Redio free africa ambaye kwa sasa ni editor wa mtandao wa Bongo5 pia ni Rapper mara tuu  baada ya kupata nafasi ya  kuwakufunzi wafanyakazi wa redio  Kings FM 104.1 Njombe nyanda za juu kusini semina hiyo itadumu kwa muda wa siku tatu, Fredrick bundala
ameuambia mtandao wa Djjonamusic blog kuwa redio iko vizuri na timu yake imesimama amesema anaamini kwa miaka michache itakuwa gumzo nyanda za juu kusini.

No comments: