Rapper huyo alipendekeza jina la msanii kutokea Mbeya City Emmanuel Simwinga aka Izzo Bizness
Izzo Bizness Baada ya kupokea ujumbe huo wa kufanya collabo na Navio kupitia twitter na instagram aliandika; “Naskiliza Interview ya NAVIO a@earadiofm ameulizwa msanii gani wa Tz angependa kufanya nae Collabo kasema Izzo Bizness…Humbled#LetsDothis“
“Hii kubwa sana kwangu big up kwa #NAVIO #HAINAKUFELI”– Izzo Bizness
No comments:
Post a Comment