(Nafasi tano) za watangazaji
wanaozitengenezea media zao mkwanja wa kutosha na kufanya redio kujulikana
zaidi na kuwasogeza wasikilizaji wengi zaidi na kumshawishi mdau kuweza kutangaza
na redio husika.
(Utaratibu) huu utakua ni
kwa kila j5 ya kila wiki na hii idea ni ya kwanza kabisa katika ulimwengu wa
blog hapa Tanzania sio mbaya kama ukiona inafaa na kuindeleza kwenye chanzo chako
Team Djjonamusic blog na Radio imekaa chini na kuona bora kuanzisha hizi chati.
(Kigezo) ni kuangalia na
kufuatilia idadi ya matangazo yanayochezwa katika kipindi au show husika na
uzito wa hayo matangazo.
Nafasi ya Tano imeshikiliwa na Millard Ayo ambaye ni mtangazaji wa Clouds fm iliyopo hapa Dar na show ambayo anaiendesha inaitwa Amplifaya ni kila siku za wiki namaanisha j3 mpaka ijumaa.

Nafasi ya Nne amekaa
Eddo Bahir mtangazaji tokea Iringa kupitia redio
Ebony fm na show ambayo ana host ni One six , Hii show ni kila siku za wiki
time ni saa kumi na mbili mpaka Tatu kamili za usiku

Nafasi ya Tatu imekamatwa na Dokta joe
huyu jamaa ni mtangazaji wa kituo cha redio cha Ebony fm iliyopo mkoani Iringa,
jamaa anaendesha show inaitwa The splash hii show huluka kuanzia jumatatu mpaka
ijumaa time ni saa saba na robo mpaka kumi kamili.

Nafasi ya Pili imeshikiliwa na Renatus Bizzo
kiluvia ambaye ni mtangazaji wa Redio free Africa iliyopo jijini mwanza show
inaitwa Showtime New chapter ni kila siku za wiki.

Na kwa hii wiki ya pili tena nafasi ya kwanza imeshikiliwa
na B12 aka The navigator wote mnafaham uyu jamaa yupo
pale Clouds fm show inaitwa XXL time saa saba kamaili mpaka kikumi kamili.
No comments:
Post a Comment