Monday, June 15, 2015

Sikiliza na Download Free Chill na Sky: Jumatatu ya 15/06/2015 na Msanii Mabeste

 Leo nimechili na rapper @mabeste_tanzania ambaye atatueleza safari ya muziki wake, kuchukuliwa na B'Hits, maisha yake baada ya kuachana na label hiyo, maisha ya familia na kuuguliwa na mkewe, Lisa Karl Fickenscher.
 
Chill na Sky inasikika kupitia Kings FM ya Njombe (Jumatatu 10:45 hadi 11:45 jioni, na marudio Jumapili saa 5:00 asubuhi
Bomba FM Mbeya, Jumanne saa 9:00 Alasiri na Afya Radio 96.8, Mwanza, Jumatano saa 8:30 mchana kwenye The Beat Lab na kurudiwa Ijumaa saa 5:00 usiku kwenye Weekend Jump off na Jumapili saa 5:00 asubuhi kwenye Super Sunday.

No comments: