Mtumbuizaji Bora wa Muziki wa Kiume wa Mwaka- Ali KIBA (Mshindi)
Mtumbuizaji Bora wa Kike wa Mwaka- Vanessa MDEE
Mwimbaji Bora wa Kiume
Mwimbaji Bora wa Kike
Msanii Bora wa Kiume Taarab- Mzee YUSUPH (Mshindi)
Mwimbaji Bora wa Kike Taarab: Isha MASHAUZI (Mshindi)
Mwimbaji Bora wa Kiume Bendi- Jose MARA (Mshindi)
Wimbo Bora wa Mwaka wa Taarab- Mapenzi Hayana Dhamana (Isha
Wimbo Bora wa Mwaka- 'Mwana' (Ali KIBA- Mshindi)
Wimbo Bora wa Kiswahili Bendi- 'Walewale' (FM Academia)
Wimbo Bora wa R&B- 'Sisikii' (JUX -Mshindi)
Wimbo Bora wa Hip Hop- Kipi Sijasikia (Prof. JAY- Mshindi)
Wimbo Bora wa Reggae/ Dance Hall- Maua SAMA (Mshindi)
Rapa Bora wa Mwaka Bendi- FERGUSON (Mshindi)
Msanii Bora wa Hip Hop- Joh MAKINI (Mshindi)
Wimbo Bora wa Afrika Mashariki- Sauti SOL (Sura Yako)
Mtunzi Bora wa Mwaka Taarab- Mzee Yusuph (Mshindi)
Mtunzi Bora wa Mwaka Bongo Fleva- Ali KIBA (Mshindi)
Mtunzi Bora wa Mwaka (Bendi)- Jose MARA
Msanii Bora Chipukizi Anayeibukia - Barakah Da Prince
Mtunzi Bora wa Mwaka Hip Hop- Joh MAKINI (Mshindi)
Bendi Bora ya Mwaka- FM Academia (Washindi)
Mtayarishaji Bora wa Nyimbo wa Mwaka Bongo Fleva- NAHREEL
Mtayarishaji Bora wa Nyimbo wa Mwaka Taarab- ENRICO
Producer Bora wa Nyimbo wa Mwaka Bendi- AMOROSO
Wimbo Bora Wenye Vionjo vya Asili ya Kitanzania- Mrisho MPOTO
Kikundi Bora cha Mwaka Taarab- Jahazi Modern Taarab (Washindi)
Kikundi Bora cha Mwaka Bongo Fleva- Yamoto Band (Washindi)
No comments:
Post a Comment