Godfather kuongoza video ya Yamoto Band, Diamond Platnumz Aigharamia >>>>>>>>
Meneja wa kundi hilo,
Said Fella, amesema Yamoto Band watasafiri Jumatatu kuelekea nchini
Afrika Kusini kushoot video hiyo. “Wiki ijayo tunatarajia kufanya video
mpya ya Yamoto Band na Godfather atakuwa...
director,” Fella ameiambia
Bongo5. “Hatuendi south kama kuiga lakini madogo nao wanataka kwenda
mbali zaidi.” “Tunajaribu kuwapenyeza zaidi Afrika. Kwahiyo Diamond ndio
kaongea na Godfather na yeye ndo katoa hiyo ofa, hivyo hii ni ofa ya
Nasib. Tunakwenda Jumatatu, tunafanya video Jumanne na Jumatano kuna
shughuli tutaifanya tena,” alisema Fella.
No comments:
Post a Comment