Monday, June 15, 2015

Wema-Kajala ni mtu mzima lakini hana akili

 Kabla haja post instgram ange nitumia txt coz sijabadilisha no ila ,Yule ni bogazi yani nianvyosema nikiazi ni kizai kweli ‘.Wema
 
Hivi klibuni Wema Sepetu aka Madam aliweza kuhojiwa na  Zamaradi katika kipindi cha Take One .Aliweza kufunguka na kumpa makavu mwana dada kajala na kusema kuwa hataki  na wala hatokuja kuwa nae kalibu tena .
 kdm
‘’ Niliwai kumtumia Massege na kumwambia kuwa ni Wose Friend kwangu ,kwani yeye ndiye aiye jizizungua . na nilijuta Why nilitoa hile hela kwa kajala . Nime tenda wema nimeenda zangu na hata siku mmoja sitokuja kumambia nataka pesa zangu. Nitajuat hadi siku nitakayo kufa ’. Hiyo nikuuu fupi kutoka kwa wema aliyo yaongea katika  Take One
Credit: Teamtz.com

No comments: