Thursday, June 25, 2015

Christian Bella, Ally Kiba kuachia ngoma baada ya Ramadhani

 Christian Bella, Ally Kiba kuachia ngoma baada ya Ramadhani >>>>>>>>>> Ile collabo kali iliyokuwa inangojewa kwa muda sasa kati ya Christian Bella na Ally Kiba inatarajiwa kutoka baada ya mfungo wa Ramadhani. Akiongea na Sasa TV, Christian Bella amesema kuwa wimbo huo utakuwa ni wa kipekee kwani Ally Kiba amebadilika humo ndani na kuimba tofauti kitu kilicholeta radha tofauti ya wimbo huo. Bella ameongeza kuwa Ali Kiba ameimba kwa kupanda na kushuka kama yeye kitu kilichomfanya aipende kazi hiyo ambayo mpaka sasa jina lake halijajulikana. Aidha Christian Bella amesema kuwa kwa sasa wanajipanga kushoot video ya wimbo huo na mpka ramadhani iishe video hiyoitakuwa tayari na ndio utakuwa wakati mwafaka wa kuachia ngoma hiyo ambayo mpaka sasa audioyake ipo tayariIle collabo kali iliyokuwa inangojewa kwa muda sasa kati ya Christian Bella na Ally Kiba inatarajiwa kutoka baada ya mfungo wa Ramadhani. Akiongea na Sasa TV, Christian Bella amesema kuwa wimbo huo utakuwa ni wa kipekee kwani Ally Kiba amebadilika humo ndani na kuimba tofauti kitu kilicholeta radha tofauti ya wimbo huo. Bella ameongeza kuwa Ali Kiba ameimba kwa kupanda na kushuka kama yeye kitu kilichomfanya aipende kazi hiyo ambayo mpaka sasa jina lake halijajulikana. Aidha Christian Bella amesema kuwa kwa sasa wanajipanga kushoot video ya wimbo huo na mpka ramadhani iishe video hiyoitakuwa tayari na ndio utakuwa wakati mwafaka wa kuachia ngoma hiyo ambayo mpaka sasa audioyake ipo tayari.

No comments: