Saturday, June 27, 2015

Faiza aikatia rufaa hukumu ya kupokonywa mtoto na Sugu >>>>>>>

Aliyewahi kuwa mchumba wa mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu, Faiza Ally amesema ataikatia rufaa hukumu ya kupokonywa mtoto waliyezaa pamoja iliyotolewa wiki hii. Faiza amesema haamini kama kuna sheria inayosema mama atakanyakanywa mtoto kutokana na nguo zake anazovaa. “Nasitikishwa sana na maneno yenu makali hasa nyinyi mnaosambaza kashfa juu yangu kuhusu mavazi yangu,” ameandika kwenye Instagram. “Hakuna hiyo sheria Tanzania inayosema nipokonywe mtoto kuhusu mavazi yangu- nimekata rufaa na nawahakikishia nitashinda kesi na nitamlea mwanangu na nitavaa mavazi yangu na nita    Faiza aikatia rufaa hukumu ya kupokonywa mtoto na Sugu >>>>>>> Aliyewahi kuwa mchumba wa mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu, Faiza Ally amesema ataikatia rufaa hukumu ya kupokonywa mtoto waliyezaa pamoja iliyotolewa wiki hii.  Faiza amesema haamini kama kuna sheria inayosema mama atakanyakanywa mtoto kutokana na nguo zake anazovaa. “Nasitikishwa sana na maneno yenu makali hasa nyinyi mnaosambaza kashfa juu yangu kuhusu mavazi yangu,” ameandika kwenye Instagram. “Hakuna hiyo sheria Tanzania inayosema nipokonywe mtoto kuhusu mavazi yangu- nimekata rufaa na nawahakikishia nitashinda kesi na nitamlea mwanangu na nitavaa mavazi yangu na nita enjoy maisha yangu/ nina mwanasheria makini aliyesomea sheria na sisi nyinyi mnao nipa hukumu humu ndani na kwingine,” ameongeza. “Pamoja na mavazi yangu mimi ni mama bora! mnajua upande wangu lkn hamjui upande wa Sugu na hakika mengi mtayajua kupitia kesi hii/ mavazi yangu nayapenda na kwa mujibu wa sheria si kitu kinacho nifanye ni pokonye mtoto wangu- maneno yenu machafu dhidi yangu yananiuma sana lakini kamwe hayata nirudisha nyuma katika kutetea haki yangu! Namjua sugu na na ninajiua mm ktk ubora wangu katika malezi ya mwanangu/ mm ni mama na si mama tu ni mama bora kwa sasha na ananihitaji na sitamuacha na nyinyi wajinga wachache endeleeni kuniponda na kuona na stahili kupata pigo hili na si wote- kuna wengine wema kwa upande wangu na washukuru na nina waahidi sitawarudisha nyuma nitasimama mpaka kieleweke- sasa hivi ni jasiri kupita maelezo. In god we trust inshaalla.” Chanzo: Bongoenjoy maisha yangu/ nina mwanasheria makini aliyesomea sheria na sisi nyinyi mnao nipa hukumu humu ndani na kwingine,” ameongeza. “Pamoja na mavazi yangu mimi ni mama bora! mnajua upande wangu lkn hamjui upande wa Sugu na hakika mengi mtayajua kupitia kesi hii/ mavazi yangu nayapenda na kwa mujibu wa sheria si kitu kinacho nifanye ni pokonye mtoto wangu- maneno yenu machafu dhidi yangu yananiuma sana lakini kamwe hayata nirudisha nyuma katika kutetea haki yangu! Namjua sugu na na ninajiua mm ktk ubora wangu katika malezi ya mwanangu/ mm ni mama na si mama tu ni mama bora kwa sasha na ananihitaji na sitamuacha na nyinyi wajinga wachache endeleeni kuniponda na kuona na stahili kupata pigo hili na si wote- kuna wengine wema kwa upande wangu na washukuru na nina waahidi sitawarudisha nyuma nitasimama mpaka kieleweke- sasa hivi ni jasiri kupita maelezo. In god we trust inshaalla.”

No comments: