Saturday, June 27, 2015

Kunani Kati ya Msanii Linah Na Kakake @zarithebosslady??? >>>>>>

Msanii wa muziki nchini Tanzania, anayefanya vizuri katika muziki wa Bongo Fleva, Estelinah Sanga ‘Linah’, anadaiwa kuwa kimahusiano ya kimapenzi na shemeji yake Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ aitwaye William Bugeme ‘Boss Mtoto’ ambaye ni kaka wa Zarina Hassan ‘Zari’ kiukoo.  Kunani Kati ya Msanii Linah ( @officiallinah ) Na Kakake @zarithebosslady??? >>>>>> Msanii wa muziki nchini Tanzania, anayefanya vizuri katika muziki wa Bongo Fleva, Estelinah Sanga ‘Linah’, anadaiwa kuwa kimahusiano ya kimapenzi na shemeji yake Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ aitwaye William Bugeme ‘Boss Mtoto’ ambaye ni kaka wa Zarina Hassan ‘Zari’ kiukoo. Inadaiwa kuwa wawili hao walionekana wakiwa sambaba ndani ya Ukumbi wa Triple 7 uliyopo Kawe jijini Dar es Salaam, hivi karibuni na kugandana kama mtu na mpenzi wake jambo lililozua maswali kibao kutoka kwa watu waliokuwemo ukumbini humo. Sambamba na kuonekana katika ukumbi huo inadaiwa kuwa wawili hao amekuwa wakionekana mara kadhaa wakiwa pamoja katika kumbi mbalimbali za starehe jijini Dar es Salaam. Mara ya mwisho, Linah na Boss Mtoto walionekana wakiwa pamoja kwenye hafla ya utoaji wa Tuzo za Kili Music zilizofanyika ndani ya Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, mapema mwezi huu.  By @sameerbryInadaiwa kuwa wawili hao walionekana wakiwa sambaba ndani ya Ukumbi wa Triple 7 uliyopo Kawe jijini Dar es Salaam, hivi karibuni na kugandana kama mtu na mpenzi wake jambo lililozua maswali kibao kutoka kwa watu waliokuwemo ukumbini humo. Sambamba na kuonekana katika ukumbi huo inadaiwa kuwa wawili hao amekuwa wakionekana mara kadhaa wakiwa pamoja katika kumbi mbalimbali za starehe jijini Dar es Salaam. Mara ya mwisho, Linah na Boss Mtoto walionekana wakiwa pamoja kwenye hafla ya utoaji wa Tuzo za Kili Music zilizofanyika ndani ya Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, mapema mwezi huu

No comments: