Saturday, June 27, 2015

Jacqueline Wolper Atoa Wosia Mzito, Ahofia Kifo >>>>>>>>

Msanii wa filamu nchini Tanzania, Jacqueline Wolper , ameonyesha hofu ya Mungu baada ya kujikuta akiwaza na kutafakari juu ya kifo jambo ambalo amedai kuwa limemyima usingizi na kujikuta akilia na kuwataka watu walio na tofauti au waliopo kwenye migogoro uweza kusameheana ili lolote likitokea waweze kuiona pepo. Kupitia mtandao wa kijamii ameandika “Nimelala lakini hakulaliki nipo tuu natafakari kitu kinaitwa kifo, watu wa dini wanasema usilie bali uombe kwa Mungu apunguziwe adhabu ukilia  Jacqueline Wolper Atoa Wosia Mzito, Ahofia Kifo >>>>>>>> Msanii wa filamu nchini Tanzania,  Jacqueline Wolper , ameonyesha hofu ya Mungu baada ya kujikuta akiwaza na kutafakari juu ya kifo jambo ambalo amedai kuwa limemyima usingizi na kujikuta akilia na kuwataka watu walio na tofauti au waliopo kwenye migogoro uweza kusameheana ili lolote likitokea waweze kuiona pepo. Kupitia mtandao wa kijamii ameandika “Nimelala lakini hakulaliki nipo tuu natafakari kitu kinaitwa kifo, watu wa dini wanasema usilie bali uombe kwa Mungu apunguziwe adhabu ukilia unamuumiza sijui unamzidishia adhabu sasa mtu unaumia ufanyaje?”. “Jamani dah kifo bwana acheni tuu Mungu aitwe Mungu lakini pia silaumu ila naamini Mungu kafanya hivi ili pia tusijusahau natumkumbuke kuwa yeye yupo sasa ndugu zangu mliogombana mlioachana kimapenzi embu mtafute mwenzio msemezane tuu ata kwa salamu mkikutana ili akifa uweze kwenda kumtilia mauwa au kumuaga”. Akamalizia “Niwazo tuu nimetoa nanimeona ni share na nyinyi followers wangu nawapenda sana nawatakia usiku mwena mliopo kwenye starehe muendeshe magari taratibu mrudipo majumbani mwenu namsilewe sana …Bad mood wallah nalia pekee yangu Mungu nipe nguvu. ndugu zangu,marafk vipenzi,jamaa wote mliotutangulia Mungu awapunguzie adhabu one love”... By @sameerbryunamuumiza sijui unamzidishia adhabu sasa mtu unaumia ufanyaje?”. “Jamani dah kifo bwana acheni tuu Mungu aitwe Mungu lakini pia silaumu ila naamini Mungu kafanya hivi ili pia tusijusahau natumkumbuke kuwa yeye yupo sasa ndugu zangu mliogombana mlioachana kimapenzi embu mtafute mwenzio msemezane tuu ata kwa salamu mkikutana ili akifa uweze kwenda kumtilia mauwa au kumuaga”. Akamalizia “Niwazo tuu nimetoa nanimeona ni share na nyinyi followers wangu nawapenda sana nawatakia usiku mwena mliopo kwenye starehe muendeshe magari taratibu mrudipo majumbani mwenu namsilewe sana …Bad mood wallah nalia pekee yangu Mungu nipe nguvu. ndugu zangu,marafk vipenzi,jamaa wote mliotutangulia Mungu awapunguzie adhabu one love”

No comments: