Saturday, June 20, 2015

Good News: Mmiliki wa mtandao huu Dj jona apata shavu la kuandika Habari kwenye mtandao wa Mandai Entertainment

Akipiga story na mtandao huu dj jona alisema kwenye ishu ya burudani ilikua ni ndoto yake hivyo milango inapozidi kufunguka anachukulia kama ni moja ya ndoto zake pia umaarufua alionao kwa sasa umechangiwa kwa kiasi kikubwa na kampuni ya Bongo5 kwa kumkutanisha na mastaa wakubwa hapa Tanzania akiwemo muandishi wa idhaa ya kiswahili ya BBC bwana Salim Kikeke, Mtangazaji wa Redio Clouds fm Millard Ayo 

hivyo kupelekea macho ya wengi katika tasnia hii ya burudani kumuangalia Dj jona kwa upana zaidi, Ikumbukwe siku za hivi karibuni mtandao wa Hassbaby Mapacha ulitaka kumuajili hivyo wakashindwana kibiashara kulingana na matakwa ya mtando ule wa Hassbaby Mapacha kuwa na vigezo vigumu vya uwekaji habari.


 http://www.mandaientertainment.com/

No comments: