kwenda kumjulia hali wala kumuona mtoto zaidi
ya kuwasiliana kupitia simu jambo ambalo linatafsiriwa kuwa marafiki wa
dhati hawawezi kufanyiana hivyo.Inadaiwa kuwa hata 40 ya mtoto wa
msanii mwenzake Wema, hakuhudhuria ingawa inadaiwa kuwa taarifa alipewa
mapema jambo ambalo limezua sintofahamu miongozi mwa wasanii wenzake
waliohudhuria sherehe hiyo.Kwa mujibu wa Aunty, amedai kuwa ni kweli
alimpa taarifa rafiki yake kuhusu sherehe ya mtoto wake na hakufika, na
kusema kuwa huenda amebanwa na majukumu ya kikazi hususan mchakato wake
wa kuingia kwenye siasa.
Thursday, July 16, 2015
Aunty Ezekiel na Wema Sepetu Wana Beef Tena??? >>>>>>
Marafiki Hawa walitikisa vichwa vya watu baada ya kutokuwa katika
maelewano mazuri na kusuluhishwa, ila hivi karibuni Aunty Ezekiel na
Wema Sepetu wanadaiwa kuwa na beef tena ambalo halijawekwa wazi.Kwa
mujibu wa taarifa zisizo rasmi zinadai kuwa tangu Aunty Ezekiel,
amejifungua Wema, hajawahi
kwenda kumjulia hali wala kumuona mtoto zaidi
ya kuwasiliana kupitia simu jambo ambalo linatafsiriwa kuwa marafiki wa
dhati hawawezi kufanyiana hivyo.Inadaiwa kuwa hata 40 ya mtoto wa
msanii mwenzake Wema, hakuhudhuria ingawa inadaiwa kuwa taarifa alipewa
mapema jambo ambalo limezua sintofahamu miongozi mwa wasanii wenzake
waliohudhuria sherehe hiyo.Kwa mujibu wa Aunty, amedai kuwa ni kweli
alimpa taarifa rafiki yake kuhusu sherehe ya mtoto wake na hakufika, na
kusema kuwa huenda amebanwa na majukumu ya kikazi hususan mchakato wake
wa kuingia kwenye siasa.
kwenda kumjulia hali wala kumuona mtoto zaidi
ya kuwasiliana kupitia simu jambo ambalo linatafsiriwa kuwa marafiki wa
dhati hawawezi kufanyiana hivyo.Inadaiwa kuwa hata 40 ya mtoto wa
msanii mwenzake Wema, hakuhudhuria ingawa inadaiwa kuwa taarifa alipewa
mapema jambo ambalo limezua sintofahamu miongozi mwa wasanii wenzake
waliohudhuria sherehe hiyo.Kwa mujibu wa Aunty, amedai kuwa ni kweli
alimpa taarifa rafiki yake kuhusu sherehe ya mtoto wake na hakufika, na
kusema kuwa huenda amebanwa na majukumu ya kikazi hususan mchakato wake
wa kuingia kwenye siasa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment