Thursday, July 9, 2015

Jua Cali Akanusha Kufanya Nyimbo Za Injili na Kuacha Muziki wake wa Genge >>>>>>>

Msanii Mkali wa Humu Nchini Jua Cali amekanusha uvumi kuwa anataka kuanza kufanya muziki wa Gospel. Msanii huyo toka Calif Records ambaye sasa Hivi anafanya Vizuri Na Wimbo Wake 'Karibu Nairobi' 
 
Alizushiwa na Baadhi Ya Vyombo Vya habari kuwa ameanza kuandika na kurekodi kazi za injili ukipenda Gospel Music kwenye studio tofauti Humu Nchini. Kupitia ukurasa wake wa Facebook Jua Cali aliandika “Hii stori ati nataka kufanya Gospel ni Uongo, dont believe everything you read, Ngeli bado ni ya Genge"

No comments: