Thursday, July 2, 2015

Eti Mpenzi wa Linnah Kajichora Tattoo Ya Linah?? >>>>>>

Soudy Brown kazungumza na Linnah Sanga kuhusu mpenzi wake wa sasa ambaye amejichora Tattoo, mweyewe amesema mpaka sasa wana muda wa mwezi mmoja tangu wajuane na alichora Tattoo hiyo ikiwa  Eti Mpenzi wa Linnah ( @officiallinah ) Kajichora Tattoo Ya Linah?? >>>>>> Soudy Brown kazungumza na Linnah Sanga kuhusu mpenzi wake wa sasa ambaye amejichora Tattoo, mweyewe amesema mpaka sasa wana muda wa mwezi mmoja tangu wajuane na alichora Tattoo hiyo ikiwa ni wiki mbili tu tangu wajuane. Linnah amesema kwa mara ya kwanza walikutana kwenye mgahawa wa Newscafe akiwa na Mboni Masimba na wakabadilisha namba na kuanza kuwasiliana. Anasema baada ya kugundua amechorwa Tattoo yake alijisikia furaha kwa kuwa kitendo cha mtu kujichora Tattoo ya mtu mwingine ni maamuzi magumu sana na inaonyesha mapenzi ya kweli kwa kuwa ilikua ni wiki mbili tu tangu wafahamiane.  Credit: @soudybrown  Source: millardayo.co ni wiki mbili tu tangu wajuane. Linnah amesema kwa mara ya kwanza walikutana kwenye mgahawa wa Newscafe akiwa na Mboni Masimba na wakabadilisha namba na kuanza kuwasiliana. Anasema baada ya kugundua amechorwa Tattoo yake alijisikia furaha kwa kuwa kitendo cha mtu kujichora Tattoo ya mtu mwingine ni maamuzi magumu sana na inaonyesha mapenzi ya kweli kwa kuwa ilikua ni wiki mbili tu tangu wafahamiane.

No comments: