Thursday, July 2, 2015

Salama Jabir na Solo Thang Watoa neno kwa team Kiba na Diamond >>>>>>>

Ushindani na upinzani unaokuzwa na mashabiki kati ya makundi yanayojiita timu Diamond na timu Kiba, kwenye mitandao ya kijamii umepelekea nyota wa sanaa nchini Tanzania, kujitokeza hadharani na kuwaweka mashabiki sawa kwa kile walichokiamini kuwa wamevuka mipaka kwenye ushabiki. Kutokana na sakata hilo la makundi yasiyo na maana kwenye mitandao ya kijamii limepelekea mtangazaji wa TV show ya Mkasi, Salama Jabir na msanii mkongwe bongo fleva, Solo Thang kupaza sauti zao. Kupitia ukurasa wa  Salama Jabir na Solo Thang Watoa neno kwa team Kiba na Diamond >>>>>>> Ushindani na upinzani unaokuzwa na mashabiki kati ya makundi yanayojiita timu Diamond na timu Kiba, kwenye mitandao ya kijamii umepelekea nyota wa sanaa nchini Tanzania, kujitokeza hadharani na kuwaweka mashabiki sawa kwa kile walichokiamini kuwa wamevuka mipaka kwenye ushabiki. Kutokana na sakata hilo la makundi yasiyo na maana kwenye mitandao ya kijamii limepelekea mtangazaji wa TV show ya Mkasi, Salama Jabir na msanii mkongwe bongo fleva, Solo Thang kupaza sauti zao. Kupitia ukurasa wa kijamii Salama Jabir, ameandika “Wabongo tumekua wakosoaji mpaka wasanii wanajishtukia, hakuna “zuri kabisa” kwenye macho yetu… tuwaache wasanii wawe “Wasanii” nadhani!” Akaendelea “Jana tulikua tunaongea na wana job, Ali Kiba hakuwa mtu wa vioo vikali, yeye alikuwa anatoa audio kali na video ya Mwananchi kamaliza, zama zimebadilika mpaka anakwea pipa kwenda kutoa kideo kikaaali tushukuru, kapendeza, rangi nzuri! mengine tuyaache..”. Sambamba na hilo kutokana na maneno machafu ambayo yamekuwa yakitolewa na timu hizo zimepelekea mkongwe wa Hip Hop nchini mwenye makazi yake nje ya nchi Solo Thang, kuandika haya kwenye mtandao wa kijmaii “Ukiweka habari au picha au muziki wa msanii muyu mashabiki wa yule wanakutukana! kwanini? ? hii burudani tu isiwe uhasama, tujivunie sanaa yetu”. Chanzo: Millardayo.cokijamii Salama Jabir, ameandika “Wabongo tumekua wakosoaji mpaka wasanii wanajishtukia, hakuna “zuri kabisa” kwenye macho yetu… tuwaache wasanii wawe “Wasanii” nadhani!” Akaendelea “Jana tulikua tunaongea na wana job, Ali Kiba hakuwa mtu wa vioo vikali, yeye alikuwa anatoa audio kali na video ya Mwananchi kamaliza, zama zimebadilika mpaka anakwea pipa kwenda kutoa kideo kikaaali tushukuru, kapendeza, rangi nzuri! mengine tuyaache..”. Sambamba na hilo kutokana na maneno machafu ambayo yamekuwa yakitolewa na timu hizo zimepelekea mkongwe wa Hip Hop nchini mwenye makazi yake nje ya nchi Solo Thang, kuandika haya kwenye mtandao wa kijmaii “Ukiweka habari au picha au muziki wa msanii muyu mashabiki wa yule wanakutukana! kwanini? ? hii burudani tu isiwe uhasama, tujivunie sanaa yetu”

No comments: