alisema kuwa ameamua mwenyewe kuchora tattoo
kwani ni mapenzi yake na pia amechora kwenye mwili wake hivyo hao
mashabiki wamuache na maisha yake. ‘’Hii ni tattoo yangu ya sita tangu
nianze kuchora kwenye mwili wangu,na pia kwangu ni burudani kuchora
tattoo,hivyo mashabiki naomba waniache’,alisema Young Dee.
Thursday, July 2, 2015
Young Dee: Napenda ‘tattoo’ ndo starehe yangu mashabiki mniache mwili ni wangu >>>>>>
Msanii wa Hip Hop Bongo,Young Dee
amewafungukia mashabiki waliomshambulia kwenye akaunti ya Instagram
baada ya kupost picha aliyojichora tattoo ya sita kwenye miguu yake
Akiongea na Clouds FM,
alisema kuwa ameamua mwenyewe kuchora tattoo
kwani ni mapenzi yake na pia amechora kwenye mwili wake hivyo hao
mashabiki wamuache na maisha yake. ‘’Hii ni tattoo yangu ya sita tangu
nianze kuchora kwenye mwili wangu,na pia kwangu ni burudani kuchora
tattoo,hivyo mashabiki naomba waniache’,alisema Young Dee.
alisema kuwa ameamua mwenyewe kuchora tattoo
kwani ni mapenzi yake na pia amechora kwenye mwili wake hivyo hao
mashabiki wamuache na maisha yake. ‘’Hii ni tattoo yangu ya sita tangu
nianze kuchora kwenye mwili wangu,na pia kwangu ni burudani kuchora
tattoo,hivyo mashabiki naomba waniache’,alisema Young Dee.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment