Drake akiwa na Chef Susur Lee siku ya uzinduzi wa mgahawa huo.
Mgahawa huo umepewa jina la ‘Frings’ na ameshirikiana na chef maarufu zaidi Canada anayejulikana kwa jina la chef Susur Lee.
Miezi michache iliyopita, Dj Khaled alifungua pia mgahawa wake huko Miami, unaitwa ‘Finga Linking’
Credit:TeamTz.com
No comments:
Post a Comment