Monday, September 28, 2015

Picha: Psquare watembelea ofisi za Jay Z ‘Rock Nation/ Tidal’ NewYork


Wasanii wa kundi la ‘Psquare’ wametembelea ofisi za Jay Z za ‘Rock Nation/Tidal’ huko NewYork, Marekani.
Screenshot_2015-09-26-15-24-59(1)
Mmoja wa wasanii wa kundi hilo, Peter Okoye amesema mazungumzo waliyofanya na  watendaji wa label hiyo yamekua ya mafanikio.
Miezi michache iliyopita, binamu wa Jay Z, High bee alifanya ziara nchini Nigeria kwa ajili ya kutanua wigo wa soko lao.
Credit:teamtz.com

No comments: